CCM - Mageuzi... as long as wafuatao hawamo:
Wanachama wa sasa CCM ambao majina yao yametajwa kwenye kashfa yoyote ya ufisadi, ujambazi, wizi, uzembe, ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka, na mikataba mibovu. Hawa wakishatolewa nje, then we got the party to start with.