Wakuu
====
Ivi kwanini wananchi wanajiandikisha zaidi ya mara moja katika daftari la kudumu la wapiga kura ni kwamba elimu ni ndogo au wametumwa kufanya hivyo kwa nia kupiga mara 2?
Mkurugenzi wa uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) nchini Tanzania Ndg. Ramadhan Kailima...