Mke wangu ni mjamzito, nilienda nae Zahanati ya Kata ya Ihumwa (Zahanati ya Ihumwa) iliyopo Dodoma Mjini kwa ajili ya clinic ya kawaida.
Wakasema kuwa ili upimwe Malaria unapaswa ulipie gharama ya kipimo na dawa, pia vidonge vya folic kwa ajili ya kuimarisha afya ya Mtoto aliepo tumboni navyo...