SABATO NJEMA ....
"Ee Tanzania, Tanzania… Uwauaye Wakosoaji wako Kama Yerusalemu"
Neno Kuu Mathayo 23:35
“Ili juu yenu ije damu yote ya haki iliyomwagika juu ya nchi, tangu damu ya Habili mwenye haki, hata damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliyemwua kati ya patakatifu na madhabahu.”...