Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amesema kuwa Mwekezaji hatakiwi kuchoma mahindi mtaani, ni kazi za wazawa
"Mtu anakuja kwa lengo la uwekezaji lakini sio sifa ile ya uwekezaji anakuja kufanya zile kazi za wazawa"- Dkt Selemani Jafo - Waziri wa Viwanda na Biashara.
Via Clouds FM