Ukweli Kuhusu Wachache au Wengi Kwenda Mbinguni Ukoje
Maandiko Katika Kitabu cha Luka
Kitabu cha Luka 13:23-28, kinasema: 23 "Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia, 24 Jitahidini kuingia katika MLANGO ULIO MWEMBAMBA, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi...