wakazi wa kigamboni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kadi za Sea taxi tunazotumia kuvuka Kigamboni zimekuwa zikikatwa hela bila ya kuwa tumetumia

    Wakazi wa Kigamboni na watumiaji wa Sea Taxi tumekuwa tukikumbana na changamoto ya salio kupotea kwenye kadi zetu. Mara nyingi unaweka, kwa mfano, shilingi 1,000 asubuhi ukitarajia zitakutosha kwa safari ya kwenda na kurudi, lakini unapofika jioni mashine inaonesha huna salio. Tatizo hili...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya N-CARD kwa wakazi wa Kigamboni

    Wakazi wa kigamboni tuna changa moto juu ya card za N-CARD, card hizo tumekua tukiweka hela na kuisha tofauti na kiasi ulichoweka, pesa inaenda wapi ? Na kwanini ukiacha Card kwa muda ukija kutumia inasema haina salio hata kama uliacha salio,nani anayetumia hizo pesa? Kwani ni card hizo...
  3. O

    JamiiForums Tanzania Taratibu wakazi wa Kigamboni tunaanza kuzoeshwa foleni na malori

    Wasalam, Utaratibu mbovu na kukosa utaratibu kwa hizi ICD (Inland Container Depot) waswahili tunaita bandari kavu kunapelekea foleni kwa sisi tunaotoka na kuingia Kigamboni kupitia Daraja la Nyerere. Majira ya asubuhi kwa hii wiki yote, tumeanza kupata changamoto mpya hasa tunaotumia barabara...
  4. JamiiForums Tanzania KERO TAMESA angalieni wakazi wa Kigamboni kwa huruma. Kivuko kinakaa upande mmoja 1hour?

    Tamesa tafadhari waangalieni wakazi wa kigamboni Kwa jicho la huruma, Nao pia ni watanzania. Kivuko kinakaa upande mmoja 1hour? Tumeingia kwenye kivuko saa sita Kamili mpaka saa saba kivuko hakijatoka hii ni haki kweli? Mpaka watu wanalala wanasinzia wanaliwa na mbu na wadudu wa Bahari...
  5. JamiiForums Tanzania KERO Kwa hali hii ya sasa najuta kukaa Kigamboni

    Hapa ndani kuna umati wa watu wanasubiri kuvuka na boti ndio moja na zile ndogo. Hivi kwanini hapa wasipewe tu wawekezaji, jamani Kigamboni tunateseka sana.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Kigamboni wafurahia vyakula vya asili kampeni ya Kitaa Food Fest

    Wakazi wa Kigamboni siku ya Jumapili waliweza kufurahia ladha za vyakula mbalimbali vya asili kupitia kampeni ya ‘Coca-Cola Kitaa Food Fest’ ambayo iliyofanyika Geza Ulole wilaya ya Kigamboni. Kampeni hiyo inalenga kuenzi vyakula vya asili na kuimarisha mshikamano wa kijamii huku ikikuza...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…