Habari wakubwa nimesoma Comments nyingi nakufanya utafiti mdogo ila nimebaki na Maswali Kabla ya uhuru Tulikua tunaishi vizuri kabisa na Mkoloni wakati anagawa mipaka ya hizi Nchi aligawa kwa Maono yake bila kuangalia mipaka ya makabila.
Mfano Labda Babu alikuwa ana shamba Hekta 50 akawa na...