Wachumi nawauliza???
1.Hivi ikitokea leo miujizi BEI YA UMEME IKAWA UNIT 100 tunauziwa 10K kuna shido???Sababu ni ili kuvutia matumizi ya umeme kwa wingi na kupunguza uharibifu wa mazingira pamoja na unafuu wa maisha.
2.Ushuru wa vibajaji vya gesi na umeme ukwa chini kiasi kwamba...