wachoraji

  1. Hili la Tozo hadi kwa Wasusi na Wachoraji tunakoelekea nahisi kutakuja kuwa na Tozo kwa wanaoenda Gesti ili Mapato yaongezeke

    Ni aibu kwa Taifa kama langu kutojua kabisa Vyanzo vya uhakika vya Kuingiza mapato. Tukiwadharau na kuwaambia kuwa HAMNA AKILI mnakimbilia KUTUCHUKIA na kutuundia VIKAO vya VIMKAKATI vya Kutunyamazisha mkidhani kuwa AKILI za Wananchi wa Taifa langu bado ni zile zile za UPUMBAVU MKUBWA mlionao...
  2. Angalia Jinsi Akili Bandia (AI) Inavyoanza kupumzisha Wachoraji wa katuni na Wengineo

    Nikiwa mmoja wa wafuatiliaji wa karibu sana wa hii teknolojia ya akili bandia inayofahamika kama AI. Nimejionea kwa karibu sana jinsi mambo yanavyokuwa ya moto sana. Kwa kuanzia kidogo tu, nimeonana na mchoraji katuni aliyeamua kusoma kwa nguvu, ananunua bundle then darasa linaanza...
  3. Ninatafuta wachoraji wa picha kama hizi za rangi ya maji

  4. Kazi za wachoraji na wachongaji kuuzwa kwa mtandao ili kuongeza maslahi yao

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Innocent Bashungwa ameagiza COSOTA na BASATA kuandaa mfumo wa kuuza kazi za Wachoraji na Wachongaji kwa njia ya mtandao. Mheshimiwa Bashungwa ametoa agizo hilo leo Jijini Dar es Salaam katika kikao chake na Wasanii wa Sanaa ya Uchoraji na...
  5. Fikra za Katuni, Siasa za Siasa nchini!

    Fikiria nje ya Box na Wachora Vibonzo Mbalimbali.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…