Mwaka 1941 wakati wa vita ya pili ya dunia tuliona wapolish wengi walikimbili Africa kama wakimbizi na tuliwapokea kwa mikono miwili.
Janga la corona tumeona Waafrica wanavochukuliwa.
Sasa hii imetokea mpakani mwa Poland waafrica wanazuiwa kuvuka mpaka kuingia poland kutoka Ukraine wakati wa...