Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,467
- 3,381
Tuko tayari kupandishwa kwenye bas na wazungu tukienda kwao, Ila sisi hatuko tayari kupunguza na kuacha uagizaji wa magari ya kifahari yanayokula kodi nyingi za watu wetu
Ukiacha wazungu na wenye asili ya Kiyahudi, tuliobaki ni binadamu tuliotokana na nini?
Mbona siamini nikionacho baada ya kufumbua macho na kuona tofauti kubwa iliyopo kati yetu Waafrica na watu weupe hasa wazungu na wayahudi na wanye asili ya Kitahudi huku Africa
Mahali palipo wazungu na wayahudi, hata kusipokuwepo Rasilimali, pataendelea na maisha yatakuwa mazuri!
Mahali palipo waarabu, hata kama patakuwa na rasilimali nyingi, ila hawataacha kujilipua na kuuwa wengine,
Mahali palipo mwafrica, hata kama patakuwa na rasilimali za kutosha, umasikini hautakwisha, watauza rasilimali zote Kwa wazungu na kuanza kuombaomba Kwa haohao wazungu kama watoto wa Kariakoo
Embu, tuchimbueni historia ili tujue sisi ni watu wa asili gani ili tukijua tukamwombe samahani huyu mzazi wetu wa kwanza!
Waafrica, hawaingii madarakani ili kwenda kujibu haja na umasikini wa watu, ispokuwa wanataka wawe viongozi ili wao waondokane na umasikini! Kinyume kabisa na wenzetu wenye ngozi nyeupe!
Tunamatatizo gani sisi?
Tukienda Kwa wazungu, tuko tayari watufanyie watakavyo na tutatii bila shida, lakini ole wake tukirudi kwenye nchi zetu, hatuko tayari kusikiliza na kuzifanyia kazi kero za watu tunaowaongoza
Ukiacha wazungu na wenye asili ya Kiyahudi, tuliobaki ni binadamu tuliotokana na nini?
Mbona siamini nikionacho baada ya kufumbua macho na kuona tofauti kubwa iliyopo kati yetu Waafrica na watu weupe hasa wazungu na wayahudi na wanye asili ya Kitahudi huku Africa
Mahali palipo wazungu na wayahudi, hata kusipokuwepo Rasilimali, pataendelea na maisha yatakuwa mazuri!
Mahali palipo waarabu, hata kama patakuwa na rasilimali nyingi, ila hawataacha kujilipua na kuuwa wengine,
Mahali palipo mwafrica, hata kama patakuwa na rasilimali za kutosha, umasikini hautakwisha, watauza rasilimali zote Kwa wazungu na kuanza kuombaomba Kwa haohao wazungu kama watoto wa Kariakoo
Embu, tuchimbueni historia ili tujue sisi ni watu wa asili gani ili tukijua tukamwombe samahani huyu mzazi wetu wa kwanza!
Waafrica, hawaingii madarakani ili kwenda kujibu haja na umasikini wa watu, ispokuwa wanataka wawe viongozi ili wao waondokane na umasikini! Kinyume kabisa na wenzetu wenye ngozi nyeupe!
Tunamatatizo gani sisi?
Tukienda Kwa wazungu, tuko tayari watufanyie watakavyo na tutatii bila shida, lakini ole wake tukirudi kwenye nchi zetu, hatuko tayari kusikiliza na kuzifanyia kazi kero za watu tunaowaongoza