Kwa muda mrefu kumekuwepo taarifa kwamba baadhi ya viongozi wa serikali huwekewa sumu (poison) kwenye vyakula na vinywaji vyao. Ingawa mara nyingine huonekana kama tetesi, ukweli ni kwamba vitendo hivi vimewahi kuripotiwa hata kwa viongozi wakubwa duniani. Mfano ni kiongozi wa Palestina Yasser...