Takriban watu wanne wameripotiwa kuuawa kwa kupigwa risasi katika maandamano ya upinzani yaliyofanyika Jumapili Oktoba 26, 2025 mjini Douala, Cameroon, ambapo Waandamanaji walikuwa wakilalamikia madai ya wizi wa kura kufuatia uchaguzi wa urais uliofanyika Oktoba 12.
Mgombea wa upinzani Issa...