Kwenye maisha ya sasa, kuna wanaume wanajishusha kutokana na hali zao za kifedha – wakiamini kwamba uzuri fulani wa wanawake hauwahusu, yaani zile pisi kali tuwaachie watu flani wenye kipato.
Wengine wanasema: “Uzuri ni wa wale wenye uwezo wa kuutunza.”
Swali:
Kuna uzuri ambao mwanaume maskini...