uzinduzi wa dira 2050

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Inasikitisha sana kuona Dira 2050 Haijazingatia Suala la Maadili, Tamaduni, Mila na Desturi Kwa Kizazi ambacho 2050 ndio watakua Vijana !!

    Kwanza nimeumia, nimebubujikwa na Machozi kama Lucas Mwashambwa Chawa wa mama abubujikwae Machozi ya Furaha Mama akigawa Baiskeli huku Utekaji ukishamiri. Unaweza jiuliza Hawa Wazeee waloindaa Dira hii, ambao wengi 2050 watakua wamekufa, wamewaza ni aina gani ya Kizazi watakachotuachia...
  2. Mbowe anapata Muda wa kuhudhuria Uzinduzi wa Dira 2050, ila hapati Muda wa kuhudhuria Kesi ya Lissu, Jamaa anaumia kuondoshwa CHADEMA

    Biashara yake ya Kisiasa yote imekufa !! Kwa hakika CHADEMA Sasa ndio chama Cha Upinzani !!
  3. Freeman Mbowe apata picha ya kipekee na Rais Samia

    Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe amepata picha ya kipekee ya pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uzinduzi wa Dira 2050, uliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…