Na Thuwaiba Habibu, Zanzibar.
"Wanawake wamekuwa wakilalamika wakichukua fomu wanaanza kufatwa kwamba wao' si mna viti vyenu Maalumu ' tuachieni sisi huko ( jimbo), ndio maana tuna sema kuna ubinafsi kwenye vyama vya siasa.
Ni maneno ya Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la wanawake katika...