Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Geita umesikitishwa na kulaani vikali kitendo cha kutekwa kwa Mwenyekiti wa Mkoa, Ndugu Manjale Magambo, kilichotokea usiku wa saa tatu, tarehe 24 Oktoba 2025, katika makazi yake yaliyopo eneo la Bombambili, Geita Mjini.
Taarifa tulizonazo zinaeleza kuwa...