uteuzi ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Musiba: Inasikitisha CCM kinachoangaliwa zaidi ni kujuana, wanaachwa watu wenye maono mazuri na kupitisha watu bila kupingwa

    Akizungumza na wanahabari Julai 31, 2025 Kada wa Chama cha Mapinduzi Cyprian Musiba ameeleza kuwa mchakato wa kuchagua watia nia ubunge unafanywa hasa kwa kujuana ndani ya chama hicho akidai ili uchaguliwe ni lazima uwe unajuana na mtu au uwe mtoto wa waziri ndipo uchaguliwe Pia amehusia baadhi...
  2. M

    GE2025 Je uteuzi wa mgombea ndani ya CCM ni wa kupendeleana au ni utaratibu wa muda mrefu?

    Wapo wanaoikosoa CCM kwa kile kinachoonekana kuwa ni "uteuzi usio wa kidemokrasia" wa mgombea urais kwa 2025. Lakini swali la msingi ni: Huu ni upendeleo au ni utaratibu wa muda mrefu ndani ya chama? Historia inaonyesha wazi: Nyerere mwenyewe alitumia ushawishi wake kumteua Ally Hassan...
  3. PreGE2025 Rais Samia ataka Wakurugenzi (DED) na Wakuu wa Wilaya wanaotaka kugombea kutoa taarifa mapema

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya na viongozi wengine katika serikali za mitaa kutoa taarifa mapema kama wana mpango wa kugombea ubunge. Msingi wa kauli ya Rais Samia ni kutaka nafasi zao zijazwe mapema na watu...
  4. Mbunge wa Lulindi: Walio karibu na Rais wamshauri vizuri kuhusu masuala ya uteuzi, yeye sio Mungu

    Mbunge wa Jimbo la Lulindi, Issa Ally Mchungahela, amezitaka mamlaka zinazohusika na uteuzi wa viongozi kuhakikisha zinatoa ushauri wa kitaalamu kwa Rais, ili kuepuka changamoto zinazotokana na uteuzi wa baadhi ya viongozi serikalini. Akizungumza Bungeni wakati wa kuchangia Hoja ya Kamati ya...
  5. PreGE2025 Mwenyekiti ACT Wazalendo Dorothy Semu: Nikiteuliwa serikalini sitakubali uteuzi. Sitamani kufanya kazi nyingine zaidi ya ACT

    Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Doroth Semu ameeleza kuwa hatamani kufanya kazi sehemu nyingine tofauti na kukitumikia chama chake Cha ACT Wazalendo Na kwamba hata akipewa kazi serikalini hawezi kukubali. Ikumbukwe kuwa mwaka 2017 aliyekuwa mgombea wa ACT Wazalendo Anna Mgwhira...
  6. Inadaiwa Lucas Mwashambwa amepewa nafasi CCM ndio maana haweki namba siku hizi

    Vyanzo vyangu vya kuaminika toka coridos of power vimenitonya mwanachama mtokwa machozi ya furaha pale anapotajwa kiongozi mkuu amepata teuzi huko CCM. Na ndio maana siku hizi ameacha kuweka namba Ila kwa maadili ya JamiiForums siwezi kuweka hapa utambulisho wake. Hongera comrade Lucas...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…