utalii wa picha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Tume ya Utalii Zanzibar: Kuanzia Januari hadi Oktoba Idadi ya Watalii wa kimataifa imefikia 743,605

    Zanzibar imefikisha idadi ya watalii wa kimataifa 743,605 hadi Oktoba 2025, kiwango ambacho tayari kimevuka rekodi zote za miaka iliyopita kabla hata mwaka kuisha. Mwaka jana visiwa hivyo vilipokea watalii 736,755, na kufanya 2025 kuwa mwaka wenye idadi kubwa zaidi hadi sasa. Takwimu...
  2. JamiiForums Tanzania Hatufanyi vizuri kwenye Utalii wa Picha

    Sijui kama kuna mtu hapa amewahi kuombea Mgeni (mtalii) kibali cha kupiga picha akaona ugumu uliopo? Kiujumla taratibu zilizopo sio rafiki (hazipo wazi) yaani kuna wizara sijui ngapi zinahusika hivyo kupata kibali bila maarifa ni ndoto ya mchana kwani unaweza kutumia miezi nk hivyo mgeni hawezi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…