ulipokuwa huna pesa wala hawakufuatilia chanzo cha umasikini wako iwe ni uvivu, kwenda kwa waganga, madeni, ulevi, kamari, n.k. watu hawana time kabisa wala kukupa ushauri,
Mambo yanaanza kujipa unatoboa kuwazidi, mtu unachambuliwa zaidi kuzidi hata unavyojifikiria ama unavyoishi, yule atakuwa...