Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa onyo kali kwa waombaji wa mikopo, ikisisitiza kuwa haitavumilia vitendo vya kughushi nyaraka kwa lengo la kujipatia mikopo isivyo halali.
Onyo hilo limetolewa baada ya wanafunzi 17 pamoja na mhitimu mmoja kutoka vyuo mbalimbali vya...