Uchunguzi huru uliofanywa na CNN kufuatia mauaji ya Oktoba 29, 2025 umebaini Mamlaka za Tanzania kupitia Jeshi la Polisi zilitumia nguvu kubwa kudhibiti waandamanaji, kiasi cha kusababisha mamia ya watu wapoteze maisha.
Katika uchunguzi wake, imebainika pia baadhi ya miili ya watu waliouawa...