Kamati ya uchaguzi ya TFF bilashaka inaundwa na watu wa mpira nchini, na watu wanaowania kugombea uongozi wa TFF ni watu wanaofahamika CV zao, hii kanuni ya endorsement kwa watia nia Iko kwa sababu gani?
Je, wanaotoa endorsements wanawafahamu zaidi watia nia kuliko walioko kwenye Kamati ya...