uchaguzi wa tff

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kimeumana! Wakili Kibamba ataka kulipwa Bilion 2 kwa mawakili waliomchafua sakata la uchaguzi wa TFF

    Mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi TFF Wakili Kiomoni Kibamba akizungumza n kuhusu malalamiko dhidi yake kwenye mchakato wa uchaguzi TFF. amesema mawakili wote walimdhalilisha atawapeleka mahakamani na kuwataka wamlipe Bilion 2 Ilivyokuwa awali... Wakili Doris Kafuku akizungumza kwa niaba ya...
  2. K

    MTIFUANO WA UCHAGUZI WA TFF

    Leo nimesikia maelezo ya Mawakili watano waliomuwekea pingamizi Rais anayemaliza muda wake Ndugu Karia. Binafsi maelezo yao yana mashiko. Hivi kweli Rais anayeheshimika kwa nini asifuate taratibu na kanuni. Kama ilivyo sheria na taratibu za TFF mgombea wa Urais wa TFF sharti ni kuwa...
  3. Uchaguzi wa TFF na uchaguzi mkuu wa Tanzania usanii ni ule ule

    Ila sisi watu weusi sijui tumelaaniwa yaani watu na akili zao wanaamua kuweka mfumo wa uchaguzi wa kinafki . Halafu wanashupalia kichwa kwamba uchaguzi ni wa uhuru wa haki na kidemokrasia. Yaliyofanyia TFF ni mambo ya ajabu sana , napo kuuli mbiu ya No Reforms No Election ifanyike haraka kwenye...
  4. Kuungwa mkono (Endorsement) kwenye uchaguzi wa TFF inalenga nini?

    Kamati ya uchaguzi ya TFF bilashaka inaundwa na watu wa mpira nchini, na watu wanaowania kugombea uongozi wa TFF ni watu wanaofahamika CV zao, hii kanuni ya endorsement kwa watia nia Iko kwa sababu gani? Je, wanaotoa endorsements wanawafahamu zaidi watia nia kuliko walioko kwenye Kamati ya...
  5. Eng. Himba: Tunataka kujua, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF anawezaje kutuambia tuchukue fomu ilhali anajua hatutapata endorsement?

    Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi amekuja mbele kuudanganya Umma kuwa tuchukue fomu wakati wanajua Endorsement zote zimeshachukuliwa, Yani tunaochukua fomu tunatoa swadaka, mimi sitakubali kutoa laki tano yangu halafu iwe kama nimechangia mapato ya TFF."- Eng. Mustapha Himba. 🗣"Tunataka kujua...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…