Tulia Ackson (born 23 November 1976) is the Speaker of the National Assembly of Tanzania, in office since 2022. She was appointed as a Member of Parliament by President John Magufuli. On the 27th October 2023, she was elected the President of the Inter-Parliamentary Union (IPU) through the meeting convened at Luanda Angola were she passed other contestants by a great margin.
Ujanja mwingi sana hakuna lolote hapo! Kila uchaguzi ajenda ni madawati oh matundu ya choo, tokeki hapa na sera za kishamba kila uchaguzi!
==================
Mgombea wa Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Uyole amesema kwa miaka mitano tangu 2020 mpaka 2025 Serikali imefanya...
Tufanye tathmini ya bunge la Kasi na viwango la comrade samwel SITA na hili ambalo binafsi sijui lilisimamia nini maana wananchi walitekwa wakauwawa na Bado spika akazuia bunge kuiuliza serikali je lipi lilikuwa bunge Bora?
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya na Mfanyabiashara wa Kimataifa Ndugu Patrick MWALUNENGE ana uwezekano mkubwa wa kushinda kupeperusha bemdera ya Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Mbeya mjini baada ya kuchukua RASMI fomu ya kuomba ridhaa ya kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya!
Tangu...
Emily Noah Sanga amechukua Fomu kugombea Ubunge katika jimbo jipya la Uyole. Itakumbukwa pia Tulia Akson Mbunge wa Mbeya mjini anayemaliza muda wake alitangaza nia ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Uyole
Kama afya yako ya kiroho haijakufa ukiwasikiliza hawa watu wawili kwa makini utagundua tabia zilizo ndani yao kama umeshakufa huwezi kunielewa na utabishana kama pimbi.
Mbunge wa Mbeya Mjini, ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson ametangaza nia ya kugombea ubunge katika jimbo jipya la Uyole mkoani Mbeya katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Akizungumza na wananchi wa Jimbo la Mbeya Mjini, leo Ijumaa Mei...
Nilimsikia tulia anasema "huwezi kusema mtu ametekwa wakati hujamuona"
kwanza kutekwa ni kupi ?
Tulia kutekwa ni kuchukuliwa kwa nguvu na watu wasiojulikana na kupelekwa sehemu isiyofahamika sio hadi uone akitekwa ndio tuseme ametekwa.
Tuache kukwepa hoja siziso za msingi mtu aliyetekwa sio...
Ikiwa ni msimu wa sita kwa Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya mjini Dkt. Tulia Akson kugawa bima na mahitaji muhimu kwa kaya 1500 sawa na wazee 9000 wa Jiji la Mbeya, Dr Tulia amewataka wenyeviti wa mitaa ya Halmashauri ya...
Wakuu,
Hivi hizi kampeni zinazofanyika sasa si ni kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Au ni kampeni za Uchaguzi Mkuu?
Kwa sababu naona kama Tulia ame-lobby hii process na amefanya hii kampeni yote kumuhusu yeye.
Na hii benki iliyompa Tulia hizi bajaji nane kwa ajili ya Tulia Trust, mna...
Happy Birthday Hon. Speaker, Madame, Dr. Tulia Akson Mwansasu!
I am reverently writing you a birthday wish, my Heart is overflowing with emotional goose bumps of gratitude!
Dear Madame speaker and president of IPU! You’re the most loving, caring, enduring, encouraging, forgiving, considerate...
Akiongea na na Watangazaji wa kipindi cha asubuhi Good Morning cha Wasafi radio Septemba 27, 2024 Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Akson Mwansasu ameshangaa Jeshi la Polisi kuhusishwa na utekaji na mauaji ya raia wema
Hivi karibuni vijana watatu wa chama cha demokrasia na maendeleo...
Mwanachama wa CHADEMA, James Mbowe, amekosoa vikali Bunge chini ya Spika Tulia Ackson, akisema kuwa ni dhaifu na halina ubinadamu. Kauli hii imekuja baada ya Bunge kutupilia mbali ombi la kujadili suala la utekaji na mauaji, ambapo Aida Joseph Khenani alitoa hoja ya kuitaka Bunge lijadili suala...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wa Armenia ameonyesha kufurahia sana na kutabasamu pale alipopata bahati ya kuonana na Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu aliyekuwa Armenia kuongoza vikao vizito sana.
Ikumbukwe ya Kuwa ni miezi michache tu Dkt Tulia aliweza...
Palikuwepo wasiwasi Kwamba Mwanasiasa Maarufu Kanda ya Nyasa Lucas Mwashambwa atachukua form za kugombea Ubunge Jimbo la Mbeya mjini.
Uvumi huo ulimfanya mbunge wa zamani Joseph Mbilinyi (Sugu) Kupata mchecheto kwani anamuhofia Zaidi Lucas kuliko Dr Tulia.
Hata hivyo Lucas amesema yeye hana...
Kuwakamata viongozi wa chama kikuu cha ushindani CHADEMA mkoani Mbeya kinaweka rehani ubunge wa Mbunge wa Mbeya ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania na Chama chake cha Mapinduzi (CCM)
Hatua hiyo inakipa umaarufu chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kiki na...
Na kwamba baada ya Tuzo hizi Zinazodaiwa kuambatana Rushwa ya hela, kuna Mwandishi yeyote hapo Mbeya atakayeandika Ukweli mchungu kuhusu huyu Mbunge?
Ni lazima Mamlaka ikemee kitendo cha Kila Mtu kuwapa Tuzo Waandishi wa Habari, ikiwa kama kuna aliyeguswa na Umahiri wa Wanahabari basi atumie...
She is a woman!
She is black!
She comes from poorest country!
She is from Africa!
What does she think she is, to talk to me?
Does she know any thing about war?
......................
Ongezea na wewe ....