Kwenye hili tusijali cheo cha mtu, wadhifa au umaarufu wake wote waadhibiwe vikali.
Kuna wengine wana kinga ambazo wamejiundia kwa kutumia bunge hilihili, basi tuwakabidhi kwenye mahakama za kidunia ambako hawana kinga za kipuuzi kama hizi.
Na vikao vijavyo vya bunge tuangalie namna ya...