Aliyekuwa Mbunge wa Mlimba 2015-2020 kupitia Chadema, Susan Kiwanga ambaye sasa ni mwanachama wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) amechukua fomu kuomba ridhaa ya chama chake kipya kuwania ubunge wa Mlimba katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Kiwanga amekabidhiwa fomu hiyo leo Jumatano, Julai...