Solomon Pena (born April 1983) is an American political candidate who was the Republican nominee for the 14th district of the New Mexico House of Representatives in 2022. He attracted national attention when he was arrested on January 16, 2023, for hiring men to shoot at various Democratic politicians in response to his loss in the November election, for which he was convicted in March 2025.
Mwanasiasa wa chama cha Republican nchini Marekani, Solomon Pena, ambaye alishindwa kwenye uchaguzi wa jimbo la New Mexico mwaka 2022, amehukumiwa kifungo cha miaka 80 jela kwa kuandaa mashambulizi ya risasi kwenye nyumba za maofisa wa chama cha Democratic. Mashambulizi hayo yalifanyika katika...