Mbunge wa Jimbo la Lindi Mjini,Hamida Mohammed Abdallah, leo Mei 7,2025 ametembelea eneo la soko la muda lililopo katika Kata ya Msanjihili, Mtaa wa Bank maarufu kama "Sabasaba" ambalo litakalotumika kwa muda na wafanyabiashara wa Soko Kuu la Lindi ili kupisha ujenzi wa soko jipya la kisasa la...