Leo Jumamosi Julai 25 ni zamu ya Tanzania ambapo vigogo wawili, Simba SC na Singida BS kutoka Kundi B watakuwa dimbani kwa nyakati tofauti.
Anaanza Singida BS dhidi ya Jamusi FC kutoka Sudan Kusini... kisha saa 1:00 usiku ni Mnyama Simba SC mwenye vifaa vipya dhidi ya Mogadishu City ya Somalia