silaha haramu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. E

    JamiiForums Tanzania Misamaha ya kusalimisha silaha haramu ni kila mwaka?

    Wakati Jeshi la Polisi nchini likitangaza msamaha wa miezi mwili wa kutoshtakiwa kwa watu wote wanaomiliki silaha kinyume, imebainika kuwa misamaha hiyo imekuwa ikitolewa mara kwa mara kiasi cha kuibua hoja ya usalama wa wananchi ikiwa watu hao wanajimilikisha silaha na baadaye kupata misamaha...
  2. JamiiForums Tanzania Polisi yatoa siku 60 kwa wamiliki wenye silaha haramu kuzisalimisha

    Jeshi la Polisi Tanzania limetangaza msamaha wa miezi miwili kwa wananchi wote wanaomiliki silaha kinyume cha sheria, ambapo watalindwa dhidi ya mashitaka endapo watasalimisha silaha hizo kwa hiari kuanzia Septemba 1 hadi Oktoba 31, 2025. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Septemba 1, 2025 na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…