Waziri Kivuli wa Utumishi wa Umma na Utawala Bora ACT Wazalendo, Shangwe Ayo, ametaka ripoti ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na rushwa Tanzania (TAKUKURU),ili iweze kujadiliwa kwa kina na wananchi
Shangwe ametoa kauli hiyo ikiwa imepita siku moja tokea taarifa ya TAKUKURU kuwasilishwa Kwa...