Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, inatarajiwa kuendelea leo Februari 16, 2025, katika Mahakama Kuu, Masijala Ndogo, Dar es Salaam.
Shahidi wa saba anatarajiwa kuanza kutoa ushahidi wake kati ya mashahidi 30 wa Jamhuri, ambapo jumla ya mashahidi hao, 19 ni...