shaban pembe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Pembe: Ni ajabu kama Wakristo hawatolipinga hili la Desemba 25

    Wakuu, Akiwa anazungumza hivi karibuni Shaban Pembe amesema kwamba itakuwa ni kitu cha kushangaza kama Wakristo hawatopinga na kukemea maandamano ambayo yamepangwa kufanyika kwenye siku ya Krismasi "Itakuwa ni jambo la ajabu wakati wao wanakwenda kwenye ibada zao, kisha kuna genge linaenda...
  2. JamiiForums Tanzania Sheikh Pembe: Wanatuita chawa, hatuna PHD hatujasoma, ndani ya uislamu kuna kila kitu

    Sheikh Shaban Pembe ametoa onyo kwa vijana ambao ni Waislamu kutolalamika au kubeba ajenda za watu wengine. Amesema kuwa kutokana na misimamo yao, baadhi ya watu wamekuwa wakiwaita “machawa,” kuwakejeli kuwa hawana PHD na kudai hawajasoma, jambo alilosisitiza halipaswi kuwakatisha tamaa wala...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…