Kufutia madai yaliyotolewa na mbunge anayetokana na Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu, Zanzibar Simai Mohamed Said akidai ya kwamba kuna baadhi wanakwamisha juhudi za maendeleo kwa maslahi yao binafsi na kuwa mmoja wao ni mtu aliyemtaja kwa jina la "Yuda"ndani ya serikali...