Binafsi nimekaa na kutafakari sana kuhusu Serikali yetu inapambana kuanzisha mifumo ya kielektroniki ili kurahisisha utoaji wa huduma zake. Mimi pia nimenufaika moja kwa moja kwa jitihada hizi maana napata/nalipia huduma za Serikali kwa njia rahisi sana huku nikiwa naendelea na shughuli zangu...
Kwa sababu tumeshindwa kusikilizana ndio maana hatuendelei.
Kwa muda mrefu, tumekuwa tukishindwa kutatua mizizi ya matatizo yetu. Tumeshindwa kutatua vyanzo vya matatizo yetu.
Taifa kiujumla na serikali zetu kwa awamu mbali mbali, kwa ujumla tumeshindwa tafuta suluhu ya matatizo yetu ya siku...