Kupitia ukurasa wa Mtandao wa Kijamii Facebook Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula ameandika kuhusiana na Mkutano wa Rais Samia anayemaliza muda wake na pia ni Mgombea Urais Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kukutana na Viongozi wa Kanisa Roman Katoliki Muadhama Protase Kadinali Rugambwa na Askofu...