Huu mwaka mtamu sana, Hawa covid-19 ,walikuwa na jeuri aswaa. Huyu Lissu alipodai reforms alimtukana sana bungeni Ili aonekane.
Na alijiapiza Kwa jeuri kuwa atarudi bungeni.
Leo amefyekelewa mbali na wajumbe wa CWT. Bunge ataliona kwenye TV.
Nawasubiri wajumbe wafyekele mbali hawa watu, na...