Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga, amewahakikishia wananchi Mkoani humo kuwa Mkoa wa Songwe upo salama, wenye utulivu na amani
Akizungumza na askari wa Jeshi la Polisi walioungana na majeshi mengine ya vyombo vya ulinzi na usalama...