Nipo Salama! Hofu Kwenu!
Tunahitaji reforms sio kwaajili ya Chama Fulani bali kwaajili ya vyama vyote.
Reforms kwaajili ya CCM,
Reforms kwaajili ya CHADEMA,
Reforms kwaajili ya vyama vyote vya siasa nchini.
Reforms kwa Sisi tusio na vyama lakini ni wapiga Kura.
Reforms ambazo zitafanya...