Mwenye kiuno bila mfupa Ray C amepiga marufuku kuitwa msanii wa zamani akidai wanaosema hivyo wengi wao wamechelewa kuja mjini.
Ray C ameandika ujumbe huu akielezea suala hilo juu ya mashabiki na wadau wa muziki kutumia neno la wasanii wa zamani.
“Biashara ya kuitana msanii wa zamani mnitue...