Dikteta ni nini/nani. ni mfumo ambapo kikundi cha watu wachache au mmoja wanatawala nchi kwa mtutu, wakiwa juu ya sheria, wakiua watawaliwa, kuteka, kubaka na hata kunyanganya mali za watu.
Sifa kuu ya madikteta ni kuvishika na kuvitawala vyombo vya ulinzi na Usalama.
Kwa nyakati za hivi...