rais wa korea kaskazini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rais wa Korea kaskazini: Tutaipa Burkina faso msaada wo kijeshi.

    Kutokana na matishio ya kiusalama na matishio ya kumuua Rais Ibrahim Traore wa Burkina faso, kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un amesema serikali yake itaipatia Burkinafaso msaada mkubwa wa kijeshi endapo Taifa lolote la nje litajaribu kuivamia Burkinafaso. Sambamba na Korea kaskazini nchi...
  2. Putin na Kim Jong UN wamekubaliana kusaidiana endapo mmojawapo atashambuliwa

    Wawili hao wamesain makubaliano kwamba endapo mmojawapo atashambuliwa, basi ni kama wote wameshambuliwa. Tunaelekea kwenye mgawanyiko ambapo endapo vita itapigwa, basi mwishowe kila mmoja lazima awe na upande alochaguwa. Mafano wiki kadhaa zijazo, NATO nao wanakaa kikao kujadili namna ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…