Tangu aingie madarakani mwaka 2013, Rais Nicolás Maduro amekuwa na uhusiano wenye migogoro mizito na Kanisa Katoliki nchini Venezuela. Wakati Kanisa likijitambulisha kama mtetezi wa haki za binadamu na sauti ya maskini, serikali ya Maduro imekuwa ikilitazama Kanisa kama "adui wa kisiasa."
𝟭...