Wakuu,
Sasa Tumefika mbali, hadi watu tunaotegemea kuhimiza usawa, haki na amani kwenye nchi yetu nao wameanza kuwa Machawa
Hii imefika mbali wadau kama huyu ni Sheikh inamaanisha anawaongoza, kuwaaminisha na kuwataka waumini wake wake wasimame na mama Oktoba 29, 2025 siyo tena kuwa chaguo la...