Rais wa Urusi Vladimir Putin, hatohudhuria mkutano wa kilele wa mataifa ya BRICS utakaofanyika Julai 6–7 nchini Brazil, kutokana na hati ya kimataifa ya kukamatwa iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) na taarifa hiyo imethibitishwa na mshauri wa sera za kigeni wa Kremlin, Yuri...