Natazamwa kama mgongo
Wa kuegewa kama chombo
Nikitegemewa na watoto
Lakini kwa ndani mi' ni mtoto pia
Mtoto wa katikati
Njiapanda kati ya
Ukweli na uongo
Ukubwa na udogo ama
Upofu na uchongo
Ama pumbazo na mwongozo
Katikati ya uhalisia
Na mategemeo
Karibu na jitihada
Mbali na egemeo
Sina...