polisi tarime

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Polisi: John Kohe aliingia benki na kumlazimisha mhudumu ampe fedha bila kufuata utaratibu

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime/Rorya linapenda kutoa ufafanuzi kuhusu picha mjongeo inayosambazwa katika mitandao ya kijamii ikionesha Askari Polisi akipambana na mtu mmoja huku akiwa na silaha ya moto. Taarifa sahihi ni kuwa, mnamo Januari 15,2026 majira ya saa nane mchana katika...
  2. PostGE2025 Polisi Tarime: Tunamshikilia British kwa tuhuma za kuhamasisha vurugu Desemba 09, 2025, hajatekwa

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Tarime Rorya limekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu kutekwa kwa Fredrick Mang'era Kemange maarufu British, mkazi wa Kijiji cha Gwitiryo Sirari likieleza kuwa linamshikilia kwa tuhuma za kuchapisha na kusambaza taarifa za uchochezi na kuhamasisha vurugu Desemba...
  3. GE2025 Polisi Tarime: Bodaboda dumisheni na kuilinda amani ya nchi hii

    Miongoni mwa kundi lililopewa elimu na jeshi la polisi kipindi hichi cha uchaguzi basi ni bodaboda. Yani sijuwi wameona kwamba ni rahisi kutumika na wanasiasa au vipi? ================= Afisa Mnadhimu Mkoa wa Polisi Tarime Rorya Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Joswam Kaijanante amewataka...
  4. Polisi: Ukamataji wa watu 2 mji wa Sirari ulikuwa kwa mujibu wa sheria. Tumekamata wengine 12 waliojaribu kufanya vurugu

    Polisi Mkoa wa Tarime Rorya wamekanusha madai ya utekaji katika mji wa Sirari, wakisema tukio lililotajwa ni operesheni ya kawaida ya kukamata watuhumiwa wawili. Tukio hilo lilitokea Oktoba 21, 2025 saa 11:30 jioni na watuhumiwa walipelekwa kituo cha polisi kwa hatua za kisheria. Baada ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…