polisi na siasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GE2025 RPC Ruvuma: CCM ni kubwa huwezi ukaingia ghafla na kuishinda, sisi tunatetea wote mdogo na mkubwa

    Kwahiyo hapa Kamanda ndio ametuambia kimtindo kwamba CCM washashinda hata wananchi tufanye nini? Yaani wameshachagua upande wao kwa maana mwingine, tuwatake tusiwatake hakuna kitu kitabadilika! Hawa ndio wananchi wanataka waweke imani zao kwao kuwalinda hasa inapotokea kuna mtazamo tofauti...
  2. LGE2024 Zitto: Vyombo vya Ulinzi na Usalama vikishaonja madaraka ya kisiasa watakaofata kushughulikiwa ni CCM wenyewe

    Akiwa kwenye mkutano na wananchi Kigoma, leo Novemba 29, 2024 Zitto ameongea mengi: - Amewaonya CCM kuwa wanachofanya kwa sasa kitawageuka kama inavyotokea nchi nyingine. - Ametolea mfano yanayoendelea Angola na Msumbiji kuwa Vyama tawala vilitegemea Vyombo vya Dola kubaki madarakani -...
  3. LGE2024 ACT Wazalendo: Vyombo vya Dola vilitumika kuweka kura bandia kwenye maboksi ya kura

    Wakuu, https://www.youtube.com/live/y9aCDGcQnto?si=d5b_CohHLJqdeUuh Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo Dorothy Semu anazungumza na Watanzania kupitia vyombo vya habari leo katika ofisi kuu za chama hicho Magomeni jijini Dar es Salaam. Katika mkutano huu anatarajiwa kuzungumzia mambo...
  4. P

    Katazo la Maandamano ya UVCCM ni Mkakati wa kuja Kukataza Maandamano ya Wanaopinga Serikali siku zijazo

    Wakuu, Ukifanya mipango inabidi ucheze vizuri karata zako usiwe 'too obvious' kama Wazaramo wanavyosema. We ulisikia wapi maadamano ya kusifia juhudi za 'Mama' yanapingwa tena karibia na mikutano/maandamano ya upinzani kupinga mkataba wa DP World? Ikifika tar. 22 mtaona, wataambiwa hamuwezi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…