Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limekamata vifaranga vya kuku vilivyokuwa vikisafirishwa kwenye mabasi mawili ya abiria yakitokea mpakani mwa nchi jirani ya Malawi kuelekea Visiwani Zanzibar, baada ya kubaini kasoro kwenye nyaraka za usafirishaji.
Akizungumza na vyombo vya habari siku ya...