polisi iringa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Polisi Iringa wakamata vifaranga vikiwa vinasafirishwa

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limekamata vifaranga vya kuku vilivyokuwa vikisafirishwa kwenye mabasi mawili ya abiria yakitokea mpakani mwa nchi jirani ya Malawi kuelekea Visiwani Zanzibar, baada ya kubaini kasoro kwenye nyaraka za usafirishaji. Akizungumza na vyombo vya habari siku ya...
  2. A

    KERO NEMC na Polisi Iringa Mjini Mmelala? Bodaboda zinapiga kelele sana

    Kumekuwa na trend mbaya ya watumiaji wa bodaboda (pikipiki) kufanya maarifa kwenye Exhaust zao na kuleta usumbufu NOISE POLLUTION. Vyombo husika vimelala?
  3. GE2025 Polisi wakusanya madereva bajaji Iringa kuwakumbusha kuhusu "amani"

    Wakuu Mahubiri ya amani yanaendelea nchini. Nimeona huko Iringa madereva bajaji wamekusanywa na Polisi na kuanza kupewa mawaidha kuhusu umuhimu wa amani Binafsi sijawahi kuona such stress kwenye amani nchini kama kipindi hiki, kwani kuna nini? =========================================...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…